Sunday, March 8, 2015

Yaliyo Na Yanayo Jiri Baina Yetu Na Auntie Florentina Masawe, Cosin Bernadin Massao na Dominic Massao

Tuna zidi kushangaa, kesi yenu mulibyo ipeleka kwani Mama au Sia ndio wahusika? Vichwa hivi vitatu munavyojiita ndio ukoo mzima wa Masao ya Kiwera mulishindwa kujua hilo kweli? Yaani hamukjua hilo kabisaa? Au mulidhania mama yetu hajui mipaka yake? Tunajiuliza tunashangaa na kushangazwa na hivi vituko vyenu. Yuko wapi Babu, Manyaki na watoto wao ili wakupeni ninyi watatu vipande vyenu.

Kama kawaida yenu, chuki yote ni kwa mama yetu mjane kwasababu eti ni Mmarangu na sisi sote hattupo hapo ndio munadhania mumepatacnafasi ya kumkera. Ninyi watatu kwenye kikao mukathibutu kusema eti "mama yetu anakuja kunang'ania ardthi Uru na aliolewa kwaajili ya ardthi. (TUNAWAKUMBUSHA MAMA na BABA WALIPEWA ARDTHI NA BABU WA MARANGU KARIBU HEKA 3 HUKO MAWANDA WAKAKATAA WAKASEMA WANAZO ARDHI ZA KUTOSHA, USIJIKWEZE KUWA WEWE PEKE YAKO NDIO ULIYEPEWA ARDHI-LABDA HAO NYUMBANI URU) Huyu ni mama yetu, aliyeishi na kumtunza Babu, kila mwana ukoo na jamii wanajua hali ya Babu Balthazar kabla ya Mama kuolewa au kuhama kutoka Rombo ili kuja kumlea na kumtunza Babu. Usidhanie kwasababu ninyi watatu mumesahau na ulimwengu umesahau. Pia huyu ni mwanamke na kizazi chake kilimlelea na kumtunza Bibi Manyaki KWA DHATI. Munathubutu kusema aliolewa kwaajili ya "Ardthi"? HIKI NI KICHEKESHO KABISAA! Teana kituko. Auntie Florentina usitake niseme mingi zaidi hapa upenuni kuhusu ndoa. Mwenye nyumba ya glass asianze ugonvi kwa kutupiana mawe.

Unajua Auntie una tabia ya kusema kwa wengine yale unayo yafanya wewe.  Anayenang'ania ardhi ni wewe Auntie Florentina Masawe na Bernadin Massao. Na wewe ndie ulinayeleta vurugu vurugu nyumbani kwetu, sio Sia au Mama yetu toka Marangu unavyosema. Ndio huko kijijini na kwenye kata watakupa KILEMBA CHA UKOKA MAANA MCHEZA KWA HUTUNZWA. Lakini, hapo ndio break. Munayoyafanya yanatokana na fikara zenu zinazotokana na ninyi kutekwa na chuki, wivu na tamaa amvyo mumekua navyo dhidi ya Baba yetu kabla hata mama hajaolewa. Hatutegemei viishe leo au kesho.

Pia kisa cha kwenda kumtukana Sia amemwacha mume wake na kuja nyumbani kunang'ania ardhi ni dhahiri ninasema kuhusu wewe kuwa "UNATABIA YA KUWASINGIZIA WENGINE UNAYO/ULIYOYAFANYA". Alieanza kumtaliki mume ni Sia au ni wewe Auntie? Sema ukweli hapa. Na aliyemwacha mumewe na kukimbilia Tanzania kunag'ania ardhi za kaka yake ni nani? Ukweli tunsujua na ni dhahiri kama ushaidi unahotajika upo.

Eti "Sia umekuja kutuonyesha matiti hapa". Auntie matiti yako uliyafungia kabatini ndio ukaenda kwenye kikao? Na haya ni mambo ya kwenda kusema kwenye kata kweli? Hao wapambe wako Bernadin na Dominoc walivyokaa kwenye hiki kikao cha kata na kufumbia macho huu utumbo ndio watupa meanya wa kuwahusisha kwenye kila uovu maana munasafiri njia za panya na upenuni mtatokezea. Usingesema haya tusingeandika hapa. MUMEJITAKIA HAYA NINYI WENYEWE. Mtu akiambia ale mavi akala asimlalamikie mtu mwingine kwa kitendo chakr hicho. Na atakayepinga haya hayakusemwa nataka turudi pale kwenye kata. Kila mmoja aliyekua kwenye kikao achukue test za msema ukweli au uongo kwenye mashine. Tutaomba order ya mahakama itolewe ili kila mmoja achukue hii test. Tupate ukweli.

Tumekua tukikuambia ulikua una nguvu kama shangazi kumwita Sia na kumkalidha chini usikie anayosema na wewe umpe udhauri. Ila wewe Auntie huwezi kufanya hivyo japo mamlaka hizo unazo kwasababu umetawaliwa na chuki, tamaa na wivu. Ulikua una heshima sana na unavyozidi kuchukulia haya mambo,  sisi vitoto vidogo tutaku challenge matendo yako yasiyo na haki, au heshima au utaratibu wa kifamilua au amani au upendo dhidi ya yeyote yule tunayehusika nae directly. Wewe ulitakiwa uwe kiongozi. Ulitakiwa ukisema kitu kila mtu anasikiliza. Ungeita kikao cha wajukuu wote wa Balthazar na wana Kiwera tuje tukisikilize. Lakini kwasababu ya agenda zako za siri umedhindwa kutumia busara. Unamsababisha Sia anaonekana kuwa na busara kuliko wewe na usomi na experience yako ya maisha yako yore bwana.

Tunakwambieni haya ninyi wana ndugu kwakua tunakupendeni. Ila hao waliokusikiliza toka kijijini na kaya na haswa huyo Bernadin Marselian Massao na Dominic Massao wake hawakuthamini wewe Auntie. KUNA VITU BERNADI NA DOMINIC WANA LENGA WAPATE KUTOKA KWAKO AUNTIE, MAANA NI KWANINI KWELI WAKUACHIE UENDE NJIA WANAYOJUA UTAGONGA MWAMBA? WANAKUTOKOMRZA HAWA WATU. HAWAKUTAKII JEMA HATA CHEMBE. Wanathamini matumbo na mifuko yao tuu. Wangeweza kukuambia ukweli.

HUSUSANI Bernadin angeweza kusema "sifanyi kitu chochote cha mji wa baba mdogo Valerian" na kututaarifi sisi directly.  Unadhani angeshindwa? YEYE NA MATAMAA, WIVU NA CHUKI ZAKE ALIDHANIA ATAMWULIA MAMA PALE NA ANAJINYAKULIA NYUMBA ZOTE BA MASHAMBA YOTE. TAMAA YA FISI KUNYEMELEA MKONO WA MWANADAMU ULIOBEBA MKUKI. MATOKEO YAKE FISI ANAPOJARIBU KUUNYAKUA MKONO ANAPIGWA MKUKI.

Kama kawaida yenu ninyi watatu muna sahau kuwa sisi ndio wahusika wakuu na munavyomlenga mama munakosea. Lakini ninyi hsmusikilizi kwani munaendeshwa na ramaa, wivu na chuki. Anzeni kuendeshwa na akili na mioyo yenu. Safisheni nira zenu. Muna shangaa zsana mbona hawa watu vado wana upendo na munatetrndea maovu mskali hivi? Kwasababu kuna Yesu. Tunamwachia Ysu matatizo tetu yote. Tunanmwachia mungu Vita vyetu vyote. Yeye ni Amiri Jeshi Mkuu. Karibuni kwetu sisi, Watoto wa kiume, wahusika wakuuu. Mulipotea njia. Rudini kwenye mstari. Labda kipindi hiki cha Kwaresma munaweza kukitumia ili kurudi mstarini.

BERNADIN, KUMBUKA HILI VIZURI SANA, HAKUNA LIFANYIKALO SIRINI LISILOTOKEA UPENUNI. HARAKATI ZAKO HIZO ZA KUUVAMIA NA KUTUDHURU TUMEMWACHIA MUNGU. OLE NI WAKO. KANUNUENI WATU WA KUNIUA KAMA MULIVYOKWISHAONGEA NA WENGI WAKATEMA SIRI. RUDIA KUSOMA UJUMBE WANGU WA MWAKA 20014. UTAONA NILIPOSEMA MUNAYOYAFANYA. DUNIANI BADO KUNA WATU WACHA MUNGU NA WENYE NIA NZURI KWA KILA BINADAMU.

Mungu awabariki nyote. Aiguse mioyo yenu ikapate kupata smani na kuponyeka.  Na tuna waombea sana kwani Yesu ni njia ya uzima na ukweli. Tutazidi kukuambia ukweli na hali halisi. Sisi sio wanafiki na hatusafiri njia za panya, bali tunaishi kwa agano la Mungu na litimie.

Thursday, March 5, 2015

Jamani Auntie Florentina Masawe, Cousin Bernadin Marselian Massao & Domini George Massao

Jamani Auntie Florentina, cousin Bernadin Massao na Dominic George Massao. Hawa watu wanapotosha Ukoo na Jamii kwa ujumla. Wanatumia vyombo vya serikali kama kijiji na kata kuendeleza wivu, tamaa, chuki na uovu wao kwa Familia ya Mwalimu Valeria Sr. Wanadanganya kila mtu iliradi washinde. Musisahau "Yesu ndio Njia ya uzima na ukweli" peke yake. Kama Flo amekua Yesu kwenu, basi Dominic na Ben tunawakumbusha kuwa kuna Yesu Kristu aliyesulubiwa pake msalabani kwaajili ya dhambi zetu na tunamhimidi Kwaresma hii. Amekuja kutuokoa sote ikiwemo na ninyi watatu. Tubu leo bado una nafasi. Usikubali ta dunia hi yanyakue roho yako na usitaabike na ya malimwengu.

Kwetu sisi Wa Masao Ya Kiwera tunajiuliza Auntie Florentina, Cousin Bernadin Marselian Massao na Dominic George Massao ndio tuu Wa na ukoo wa kutuwakilisha kwenye vyombo vya serikali? Hili swali ni kwa hawa watatu, na sio ajabu kuwa wana vielelezo vya uhalifu katika maidha yao. Usiache mbachao kwa msala upitao. Haya yote yatapita.

Tunaanza kuzungumza na kutoa ukweli sio huo mulioutengeneza kwenye njia zenu za panya. Mwouvu nan? Mfano, Bernadin aliyefungwa mara tatu na kutuhumiwa mara kibao tangu utotoni? Anayefanya uhalifu wa kila aina hapo mtaani? Anaye nyanyasa wadogo zake na Mama mjane kiunafiki? Anayeplan watu kuja kuvamia nyumbani kwa ndugu zake wanaomdhamini na kumchangia kiasi kikubwa kujenga nyumba yakr?  Au ni familia ya Valerian ambao hawajswai hata kuiba sindano ya mtu au kumtukana mtu bali kuendeleza upeno wa wazazi na babu zetu? Kumbuka Yesu aliuluza ule uma uliotaka kumsulubu yule mama Malaya " asiye na dhambi awe wa kwanza kumrudhia jiwe". Nasi Wana Vakeria Family twasema "UKIWA NA NYUMBA YA GLASI USIANZISHE VITA VYA KURUSHIANA MAWE". Go Figure!

Pia je! Anayetumiwa kama bendera nani? Dominic George Massao au Familia ya Valerian?. Kwa taarifa yako tumesimama imara na endeleeni na vikao vyenu vya kijiji na kata na kututukana mle matusi ya nguoni ksma kawaida yenu. Waliokuwepo kwenye hivyo vikao kijijini na kwenye kata na kusikia nyie watatu mukimtuka mama na dada yetu wanaujua ukweli. Na mumeweka wazi ninyi ni watu wa namna gani katka jamii. Hili linaingia kwenye records za Ukoo na Dunia nzima jinsi mulivyo na nia zenu zilivyo. Endeleeni kusafiri njia za panya. Mwanga wa Bwana Yesu kama ilivyo kwenye ufunuo, kitabu cha mwisho cha Biblia, utakuumbueni.

Munavyowatumia hawa watu lakini ukweli Wa Masao Wanaujua. Wa Massai hatupo kama ninyi watu 3. Wamasao tuna heshima na hadhi kwenue jamii yetu. Na matusi munayoyatoa humo, yatawaumbua. Hawa wa serikalimi wanawaona ninyi ni watu wa ajabubu sana. Badala ya kutumia ukoo wenu kuongelea mambo ya ukoo wenu munatapatapa vijijini na kwenye Kata kuongelea ya majumbani na ukoo wenu. Sasa tukutane mahakamani ambapo ukweli ni kwamva hatujawakilishwa kwenye kijiji au kata.

Mulianza kumwingilia Baba kabla hajao, kutaka kumpangilia mke na akatia ngumu. Mukaendelea na visa vyenu alipomwoa mama. Mukaanaza speed zenu za agenda yenu ya siri baada ya baba kufariki. Na mukawa na confidence zaidi ya kutuvamia 2012, baada ya Mshaidi wa mwisho-Mwalimu John B. Masao kufariki, R.I.P. Uncle John. KWASABABU ANGEKUWEPO HAI HUU UJINGA WENU USINGEFIKA HATABKWA BALOZI BILA KUPIGWA STOP YA SHAHIDI NA MHUSIKA MKUU KIONGOZI WA FAMILIA YA BABU BALTHAZAR. Mulisubiroa hadi Mwalimu John alipofariki ndio mukaanza kufanya harakati zenu za huu ujinga wa kutuvamia. Na kuanza kwenda vijjini na kuja kujiwekea mipaka bila ya Sisi Watoto Wa Kiume ambao ndio wamiliki wa Ardhi kuwepo ILI MUTENGENEZE USHAIDI AMBAO HAMUNA TOKA KWENYE FAMILIA. Jiulizeni mulikua munaweka hiyo mipaka na nani? Milidhania munakuja kumtapeli ardhi mama MJANE na kumtishia vitisho. HATUKUJUA SISI KUTOKUA HAPO TUNGWEZA KUWATILIA NGUMU KATIKA HRAKATI ZENU ZA NJIA YA PANYA.

Tulikua tunawasubiria hadi ukingoni maana ardhi sio karanga au peremende mtu  ajinyakulie tuu. Tuliwaonya kwenye barua yetu ya April 2012, na January 2014. Na kupendekeza tupewe muda ili sisi, Wanaume wenye kumiliki ardhi, tuweze kuwasilisha maamuzi yetu kwenye vikao vyenu hivyo vya njia za panya. Mulipuuzia na Hamukusikia. Sasa ninyi musijifanye munashangaa leo hii sisi kuutumia umma mulioupelekea mambo haya ya nyumbani ipasavyo kuwakosoa vikali. Nilisema kila kitu kitafanyika ‪#‎UPENUNI‬. ‪#‎HATUENDINJIAZAPANYA‬"THIS TIME IS DIFFERENT".

Anayetumiwa kama bendera nani? Dominic George Massao au Familia ya Valerian?. Tumesimama imara na endeleeni na vikao vyenu vya kijiji na kata na kututuka mle matusi ya nguoni. Waliokuwepo kwenye hicho kikao cha kata wanaujua ukweli ninyo ni watu wa namna gani. 

Kumbukeni kuwa "Yesu ndio njia ya uzima na ukweli" tuu. Sio Auntie Florentina Masawe au Bernadin Marselian Massao au Dominic George Massao. "Ko wandu kuore shiria" Bibi Manyaki alikua akisema hivyo. 

Mubarkiwe sana tuu. Hatuwachukii. Ila yunachukizwa sana na tabia na matendo yenu. Kila mmoja wenu, kati yenu ninyi WATATU, munalijua hilo. Katika maisha tumewatendeeni wema, Upendo na haki na hivi ndivyo munavyotulipiza? Hatushangai maana tunatenda wema na kuenenda zetu na hatutegemei shukrani. Damu ya Yesu iwatakase.


Disclaimer. Content of this Blog/Web is intended for reading use only and may contain privileged, confidential, or proprietary information that is exempt from disclosure under law. Reader(s) discretion is required of essence. If you have received this link in error, please close the window and inform us promptly by profile e-mail and or comment line. Content of this blog are protected under the privacy, 1st amendment and private property laws. Do not distribute, print, download and or copy content of this Blog without Blog Administrator’s permission or proper academic references to Fatherhood Life Blog. Also contents of this Blog are personal opinion, views, perception and private or Public observations of the Blogger(s). Thank you and may God bless you and The United States Of America. "In God we Trust" and "United We Stand".

Monday, March 2, 2015

Barua Kwa Afsa Mtendaji Na Mamlaka Husika Kuhusu Usalama Wetu Kutokana Na Plan Za Bernadin M. Massao

Valerian B-K. Masao II, (Pendo)
520 Kossuth Avenue,
Utica, New York,
United States Of America,
(+1) 303-523-2061
March 2nd 2015
Ofisa Mtendaji,
P. O. Box _ _ _ _
Kijiji Cha Mnini,
Uru Mashariki, Moshi (V),
Kilimanjaro, Tanzania.

Ndugu Mheshimiwa;

YAH: KUNUKUU TAARIFA KATIKA OFISI YAKO KUHUSU MIFUGO YA BWANA BERDADIN M. MASSAO KUHARIBU MAZAO NA SHAMBA; NA WATEJA WAKE KULETA HOFU YA USALAMA NYUMBANI KWA FAMILIA YA MWALIMU VALERIA BLTHAZA-KIWERA MASAO SR:

Nukuu kichwa cha habari hapo juu. Kwanza; Napenda kuamza kwa kusema kuwa Bwana Bernadin Massao, abmbaye kwa sasa anaishi nyumbani kwa ndugu yake Bwana Albert Massao (Theodomir), amekua akivutia msafara wa watu mbali mbali toka vijiji na miji mbalimbali kuja nyumbani kwa bwana Theodomir. Kama wengi munavyojua, Familia ya Mwalimu Valeria tunatumia kichumi (Njia Ya Kuingilia Nyumbani) kimoja. Lakini hatutunii kichumi kimoja au hatuna mipaka na Bwana Bernadin. Hii hali imepelekea kupata tetesi kuwa Bwana Bernadin, (ambaye kwa sababu za kifamilia na kiusalama wetu tulimpiga marufuku kutofika nyuimbani kwetu au kuingia kwenye maeneo ya miliki zetu), amejaribu kufanya hila ya kufanya mashambulizi nyumbani kwetu kwa kutumia watu wa maeneo ya kutoka mijini. Shambilio hili walitaka liwe kama vile majambazi wamekuja kuiba tuu. Waliweza kujiingilia maeneo ya Nyumbani kwetu na kupanga plan ya namna ya kufanya mashambulizi hayo kwa kutumia mtiririko wa watu unaotumia kichumi hicho ambacho miaka yote kikimilikiwa na Babu Balthaza na Mwalimu Valerian na Familia na Mwalimu Marselian na hivi sasa Bwana Theodomir. Kwasababu sisi sio watu wahila na Baba yetu alikua anajua watu wengi kutokana na yeye mwenyewe kumiliki mali sehemu nyingi za mjini, tulidodoswa kuhusu hii plan. Pia kwasabu ya aina mbalimbali tulnazozitumia kama nyezo za usalama nyumbani kwetu, nazo pia zilichangia kwa watu hao kutojiamini kufanya mashambulizi hayo.

Dodoso hili tumelifanyia kazi na kupata uhakika kuwa kuna watu fulani walikuja nyumbani kwetu kuulizia bei na uwepo wa bidhaa na mali ghafi kama vile mbao na kadhalika. Tumegundua kuwa watu hawa walikuja kufanya uchunguzi wa uwezekano na namna ya kufanya plan yao ya mavamizi. Bado tunalifanyia hili swala tathmini ya kina. Pia tunatoa taarifa hii kwenye offisi yako kukupa taadhari hii ya kuhusu usalama wetu. Bwana Bernadin ana historia ndefu ya uhalifu na utonvu wa nidhamu. Alifukuzwa kazi Jeshini na kufungwa jela kwa uhalifu na baada ya hapo ameshafungwa jela karibu mara mbili kwa makosa ya Jinai na Uhalifu. Kwahiyo tunaomba uchuinguzi wa kina ufanyike kupata sulugu ya usalama wetu na nyumbani kwetu. Sisi, Familia ya Mwalimu Valeria, kama raia wema, tunathamini uadilifu na maadili ya kisheria na haki za binadamu. Upole na uadilifu wetu hapa unatumika kama kigezo cha kutukandamiza na kutunyima haki zetu.

Kihistoria, Bwana Bernadin amekua akifanya vitendo vya unyanyasaji na kuashiria kuwa sisi hatustaili kuishi nyumbani kwetu. Amekua mstari wa mbele sana kufanya vikao (Kaya, Kijiji na Kata- Hamna kikao hata kimoja cha ukoo kilichofanyika-na kama kilifanyika hatujahusishwa walengwa-Wamiliki wa Mali zote za Marehemu-Vijana watano) vya kuingilia mali za Familia na kutaka kumhamisha mama yetu Mjane Mwalimu Felicia ma sis nyumbani kwetu tunapoishi kwa muda takribani miaka ya 40 sasa. Amekua akitumia ngao ya kuwa ndugu yetu kujitambulisha kwenye vikao hivyo kama Mwakilishi wa Ukoo akiambatana na Shangazi Florentina B. Masawe (Mwingiliajoi kwa kutumia Bernadin) na Mzee Dominic George Massao (kama Mjumbe wa ukoo) eti wao ndio wana ukoo peke yao wanaowasilisha wana ukoo mzima wa Masao Ya Kiwera na Balthazar.

Hali halisi; inathibitisha kuwa kuna zaidi ya Wa Masao wa Kiwera na au Balthazar takribani zaidi ya 40 wanaoishi maeneo ya jirani, na takribani zaidi ya mamia wanaoishi maeneo ya mbali. Sisi wana Familia Ya Mwalimu Valerian tunathubutu kutamka hadaharani kuwa Kwasababu ya hii dosari ya kuwa mstari wa mbele kutumia ngao ya Ukoo Wa Masao Ya Kiwera na Balthazar isivyopaswa, na kutuingilia na kutunyanyasa nyumbani kwetu, tuwanaaamini kuwa hawa watu watatu wanaweza kuwa wahusika wakuu katika plan hiyo ya uvamizi nyumbani kwetu. Pia, kKitendo cha vikao vyao hivyo batili na cha Bwana Berndadi kuiba mfanya kazi na kuwa na hila za kutotaka mfanyakazi aishi Nyumbani kwetu ili mama awe mwenyewe kwasababu wanazozijua wao (Nukuu barua zetu kwa Balozi wa eneo husika na barua nyingi sana kwa wanafamilia wa Kiwera na Balthazar) ni badhi ya nukuu na kumbukumbu nyingi sana dhidi ya swala zima la usalama wetu nyumbani kwetu na kwenye jamii nzima na namna mavamizi haya yanavyoendeshwa dhidi yetu.

Pili; Bwana Bernadi ana mifugo mingi sana mfano Mbwa, Kuku na kadhalika. Amekua akiwaachia mifogo wake hao kuranda randa hovyo katika maeneo ya Familia Yetu wakati wa usiku na mchana. Mifugo hawa wamekua wakiharibu mazao na mali kama vile mbwa kuchafua na kuchimba ukuta, kuleta viroboto, kuku kuharibu mimea na kadhalika. Tunaomba ofisi hii imtaarifu/mtahadhari Bwana Bernadin afungie mifugo yake haraka iwezekanavyo. Tunategemea kupanda mazao na tutatumia mbegu zenye sumu ya kudhuru wanyama. Pia tunategemea kupiga dawa ambayo ina sumu ya kuweza kudhuru mifugo. Kama raia wema na wenye kuthamini utu na utendaji kazi wa jirani, tunaomba hii taarifa mfikie ili aweze kulifanyia kazi hili swala.

Pia, hata sisi tunao mifugo mingi kama vila Kuku, Paka na Mbwa. Tunachukua jukumu la kuwafungia ili wasilete kero au uharibifu kwa jirani yeyote. Nadhani hili ni swala zima la kua Raia Mwema, anayejali utu kwa kufuata sheria. Nasi tunamtaka Bwana Bernadin aonyeshe heshima na utu kwa kua raia mwema na mwajibikaji katika matendo, maneno na swala zima la kujenga jamii anayoishi.

Tunashukuru kwa kuchukua nafasi yako kusoma waraka huu. Pia tunashukuru offisi yako kwa utendaji katika gurudumu la maendeleo. Sote ni wana jamii na tunapaswa kuchangia maendeleo katika jamii tunayoishi. Mungu awabariki wote. Asanteni sana


Valerian B-K. Masao II,
Mwenyekiti Wa Familia ya Mwalimu Valerian
Nakala Kwa:
(1) Mwenyekiti wa Ukoo (Kila mwana ukoo awezapata nakala kwa maombi)
(2) Balozi wa eneo husika,
(3) Ofisi Ya Mtendaji wa Kata Ya Uru Mashariki,
(4) Kituo Cha Polisi Majengo,
(5) Ofisi Ya Afisa Mtendaji Wa Wila-KDC,
(6) Ofisi Ya Ustawi Wa Jamii,
(7) Ubalozi Wa Tanzania Nchini Marekani- Makao Makuu UN Office, New York;
(8) http://florentinamasaweinvadesvalerianhome.blogspot.com/ (Mtandao Wa Kudhibiti Hila za Uvamizi wa Ndugu Florentina B Masawe na Ndugu Bernadin Massao Kwenye Familia Ya Mwalimu Valerian)


“STOP AND READ”
Disclaimer: This E-mail is in tendered for personal and business use only, solemnly by the addressor; you are not authorized to distribute content(s) of this email without a written approval. Any materials contained in this e-mail should be used for the in tendered purpose only, nothing-less or more." Mr. Masao.

Disclaimer: Content of this e-mail may contain private, privileged and patent materials or information that are protected by legal statues, therefore should not be revealed to the third part, because it may violate these statues. Furthermore, materials from this email are carefully reviewed before sent and should not otherwise be altered, changed, copied or used in any circumstances that may violate anyone’s right(s). This is to clarify that materials sent to you in person by addressor could be appropriate but if addressee distributes to the third person(s) could then be an offence, thus, in this circumstances the addressor is renouncing any act of such unauthorized act(s). By addressee receiving this e-mail is aware and abides by this claim notice under the privacy and all statues set to protect the addressor by law(s)." May God Bless You and the United State Of America.” By Mr. Masao

Quote: "Live, Laugh, Lift and Love your life; because in this life and future, we got to do our best, as per our Almighty Creator of All." "Life is what you make out of, good or bad, the choice is yours to make from day one." By Mr. Masao.


Disclaimer. Content of this Blog/Web is intended for reading use only and may contain privileged, confidential, or proprietary information that is exempt from disclosure under law. Reader(s) discretion is required of essence. If you have received this link in error, please close the window and inform us promptly by profile e-mail and or comment line. Content of this blog are protected under the privacy, 1st amendment and private property laws. Do not distribute, print, download and or copy content of this Blog without Blog Administrator’s permission or proper academic references to Fatherhood Life Blog. Also contents of this Blog are personal opinion, views, perception and private or Public observations of the Blogger(s). Thank you and may God bless you and The United States Of America. "In God we Trust" and "United We Stand".